Mark 12:34
34 aIsa alipoona kwamba amejibu kwa busara, akamwambia, “Wewe hauko mbali na Ufalme wa Mungu.” Tangu wakati huo, hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumuuliza maswali tena.Al-Masihi Ni Mwana Wa Nani?
(Mathayo 22:41-46; Luka 20:41-44)
Copyright information for
SwhKC